Muundo wa Mitihani

Mpango wa mtihani wa Watunza vitabu vya Fedha (Accounting Technician)

Muundo huu wa mpango wa mtihani wa Accounting Techinician una ngazi mbili, ATEC I na ATEC II.

ATEC I ina masomo manne na ATEC II nayo ina masomo manne.

Masomo yanayotahiniwa katika mitihani hii ni :

ACCOUNTING TECHNICIAN LEVEL I

Namba ya mtihani

Jina la Somo

T01

Book Keeping and Accounts

T02

Elements of Business Mathematics and Statistics

T03

Introduction to Information and Communication Technology

T04

Business Communication Skills


ACCOUNTING TECHNICIAN LEVEL II

Namba ya mtihani

Jina la Somo

T05

Principles of Accounting and Auditing

T06

Principles of Cost Accounting and Procurement

T07

Elements of Commercial Knowledge and Taxation

T08

Accounting for Public Sector and Cooperatives

Mtahiniwa anapokamilisha hatua ya Accounting Technician Level II kwa kufaulu, atapewa cheti cha kumaliza mitihani ya Accounting Technician na atastahili kusajiliwa kama Accounting Technician.

Mpango wa mtihani wa Kitaaluma (Professional)

Muundo wa mtihani kwa mpango wa mtihani wa Kitaaluma una hatua tatu; hatua ya wali (foundation), hatua ya kati (intermediate) na hatua ya mwisho (Final) – (Knowledge and skills ) (Pakua fomu hapa)

Foundation Level - (Knowledge and Skills)

Namba ya mtihani

Jina la Somo

A1

Quantitative Techniques

A2

Business and Management

A3

Financial Accounting

A4

Cost Accounting

A5

Business Law

A6

Business Economics

Intermediate Level - (Skills and Analysis)

Namba ya mtihani

Jina la Somo

B1

Financial Management

B2

Financial Reporting

B3

Auditing Principles and Practice

B4

Public Finance and Taxation

B5

Performance Management

B6

Management, Governance and Ethics



Final Level - (Analysis, Application and Evaluation)

Namba ya mtihani

Jina la Somo

C1

Corporate Reporting

C2

Auditing and Assurance Services

C3

Business and Corporate Finance

C4

Advanced Taxation


Mtahiniwa atakapomaliza hatua ya mwisho kwa kufaulu, atapewa cheti cha kumaliza mitihani ya Certified Public Account – CPA (T) na atastahili kuitwa Mhasibu aliyehitimu.