Msamaha kwa Taasisi

Katika kuratibu na kusimamia mafunzo ya taaluma ya uhasibu nchini, Bodi inatambua na kukagua masomo yote ya uhasibu yanayotolewa na taasisi za mafunzo ya Uhasibu zinazotambuliwa nchini.

Kila taasisi inayotambuliwa kutoa masomo ya Uhasibu na ambayo inahitaji msamaha wa masomo inatakiwa kukidhi mahitaji ya msamaha, kujaza fomu na kuiwasilisha Bodi.

Msamaha utatolewa kwa masomo ya uhasibu baada ya Bodi kujiridhisha kuwa taasisi imetimiza masharti yaliyoelezwa kwenye Sera ya Msamaha inayotoa maelekezo katika kutimiza masharti ya msamaha yaliyowekwa na Bodi. Orodha ya Taasisi zinazotoa mafunzo ya Uhasibu na zilizopewa msamaha imeorodheshwa, bofya hapa.

Kozi zinazotambuliwa na Bodi:

  1. Bachelor of Commerce (Accounting) - University of Dar es Salaam
  2. Advanced Diploma in Certified Accountancy (ADCA); Bachelor of Accounting and Finance (BAF); Bachelor of Public Sector Accounting & Investigations (B.PSAI) – Mzumbe University
  3. Advanced Diploma in Accountancy (ADA); Bachelor of Accounting (BAC) -Institute of Finance Management
  4. Advanced Diploma in Accountancy (ADA); Bachelor of Business Administration (BBA-Accounting)- St. Augustine University of Tanzania.
  5. Advanced Diploma in Cooperative Accounting (ADCA); Bachelor of Arts, Accounting & Finance (BA-AF); Bachelor of Arts, Cooperative Management & Accounting (BA-CMA) – Moshi Cooperative University.
  6. Advanced Diploma in Accountancy (ADA) and Bachelor in Accounting (BA)-Institute of Accountancy Arusha.
  7. Advanced Diploma in Accountancy (ADA); Advanced Diploma in Government Accounting (ADGA); Bachelor Degree in Accounting (BAC) and Bachelor in Public Sector Accounting (BPSA) -Tanzania Institute of Accountancy.
  8. Advanced Diploma in Accountancy (ADA) and Bachelor in Accountancy (BACC)- College of Business Education.
  9. Advanced Diploma in Financial Administration (ADFA) – Zanzibar Institute of Finance Administration.
  10. Bachelor of Commerce (Accounting) and Bachelor of Business Administration (Accounting) – Open University of Tanzania.
  11. Bachelor of Business Administration (Accounting) - Zanzibar University.
  12. Bachelor of Business Administration (BBA Accounting) – Tumaini University Dar es Salaam College.
  13. Bachelor of Business Administration (BBA Accounting); Bachelor of Science in Accounting and Finance (BSc.-AF)- Tumaini University Iringa College.
  14. Advanced Diploma in Accountancy (ADA) and Bachelor of Accountancy (BACC) - Stephano Moshi Memorial University College.
  15. Bachelor of Business Administration (BBA Accounting) - University of Arusha.
  16. Bachelor of Business Administration (BBA Accounting) - Mount Meru University.
  17. Bachelor of Accounting and Finance (BAF) or Bachelor of Business Administration - St. Johns University of Tanzania.
  18. Bachelor of Commerce (Accounting) - University of Dodoma
  19. Bachelor of Accounting (BACC)-Teofilo Kisanji University
  20. Bachelor of Science in Accounting and Finance - Ardhi University
  21. Bachelor of Business Administration (BBA) - Ruaha University College